Serikali imewaita kazini walimu wapya 319 wa fani mbalimbali, ambapo halmashauri saba zimenufaika na kuongezewa nguvu kazi hiyo mpya katika sekta ya elimu. Taarifa ya kuitwa kazini kwa walimu hao ...
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2025 leo, Jumatano Novemba 5, 2025, ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa ...
TANZANIA imepiga hatua moja mbele katika nchi zilizoko Kusini mwa Jangwa la Sahara, baada ya kuamua kuja na ajenda ya uanzishaji wa Vituo vya Huduma Jumuishi (One Stop Center), vitakavyotumika kutatua ...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Profesa Said Mohamed Baraza la Mitihani la Tanzania limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika ...
Wakaazi wa Manispaa ya Masindi wameachwa na mshangao baada ya mwanaume aliyetangazwa kuwa amekufa kurudi akiwa hai, saa chache tu baada ya mwili unaoaminika kuwa wake kuzikwa. Kwa mujibu wa mtandao wa ...
Wachezaji wa Simba wakiwa mazoezini. WACHEZAJI wa muda mrefu ndani ya kikosi cha Simba wameanza kuwapa semina elekezi wenzao wapya waliosajiliwa msimu huu juu ya utamaduni wa timu hiyo na na umuhimu ...
Siri za serikali, ni taarifa nyeti zinazohusiana na ulinzi, diplomasia, uchumi na mipango ya kimkakati ya nchi. Hakuna asiyetambua kwamba, uvujaji wa taarifa hizi unaweza kuhatarisha ustawi na usalama ...
Sekta ya madini nchini inaendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya kuongeza thamani si tu kwa madini ya vito na metali, bali pia kwa madini ya ujenzi kama mchanga. Mageuzi haya yamefungua fursa mpya kwa ...
TIMU ya Taifa ya Soka ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys imefanikiwa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika kwa umri huo zinazotarajiwa kuchezwa mwakani nchini Morocco baada ya ...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewapatia Wahasibu elimu ya mabadiliko ya sheria za kodi, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa masuala ya kodi kwa Wahasibu. Akizungumza katika semina ya utoaji elimu ...
UMOJA wa Mataifa (UN), unazitaja ajali za barabarani kuwa ndizo zinazoongoza kuua vijana Afrika. Ni tangazo la Mei mwaka jana, linalozitaja serikali za Afrika zichukue hatua mpya za pamoja kuzikabili, ...
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewataka Watanzania kuanza kubadili mtazamo na kuziona taka kama fursa ya kuzirejeleza na kupata bidhaa mbalimbali na kujikomboa kiuchumi ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results